Saturday, July 27, 2024

Jifunze, Chukua Hatua Kuboresha Afya Yako

Afya ya AkiliAfya ya uzazi

FAHAMU TATIZO LA MWANAMKE KUA NA UKE MKAVU NA MATIBABU YAKE

Tatizo la uke mkavu lipo kwa baadhi ya wanawake japo sio wote. Ni tatizo ambalo kimsingi linaweza kuleta msongo wa mawazo kwa wahusika, maumivu wakati wa tendo ndoa,kukosa hamu ya tendo la ndoa, kuvunja mahusiano kabisa, kupata vidonda ukeni hata kuvuja damu.
Ni tatizo ambalo linaweza kua chanzo cha aibu kwa wanawake na kushindwa kujieleza tatizo hilo kwa wataalamu wa afya kwa kuogopa aibu.

Kushuka kwa kiwango cha homoni ya oestrogen mwilini hasa mwanamke anapofikisha umri wa miaka 40 kwenda mbele ndio chanzo kikuu cha kukauka kwa uke na dalili hizo hua wazi kabisa mwanamke anapofikika menopause au mwisho wa kuona siku zake za mwezi lakini kuna vyanzo vingine kama:

msongo wa mawazo
kunyonyesha
kuvuta sigara
baadhi ya magonjwa mfano hypothyrodism
mazoezi makali
uzazi
matibabu ya saratani
upasuaji wa kuondoa mayai ya mama.
baadhi ya dawa
kutokua na hisia na mwenza husika.

Nini cha kufanya?
ukipata tatizo hili unaweza ukamuona mtaalamu wa afya ambaye atakuchukua maelezo marefu na baadae atakupa suluhisho la matatizo yako kulingana na chanzo ambacho atakiona.

Lakini pia kwa wanawake ambao wanapata ukavu huu sababu ya umri basi kuna dawa mbalimbali za kupaka ambazo hua zina homoni ya oestrogen ndani yake ambayo huweza kusaidia tatizo hili. Kumbuka tumia dawa tu ambayo imeelekezwa kwa kazi hii kwani baadhi ya dawa zimechanganywa na vitu mbalimbali kama perfume, na vitu asilia ambavyo sio salama kwa uke.

                                                                                  STAY ALIVE

7 thoughts on “FAHAMU TATIZO LA MWANAMKE KUA NA UKE MKAVU NA MATIBABU YAKE

  • One more important part is that if you are an elderly person, travel insurance for pensioners is something you should make sure you really consider. The older you are, greater at risk you will be for allowing something terrible happen to you while in foreign countries. If you are not covered by many comprehensive insurance policy, you could have a number of serious issues. Thanks for sharing your ideas on this web blog.

    Reply
  • There may be noticeably a bundle to find out about this. I assume you made certain nice points in features also.

    Reply
  • I loved as much as you will receive carried out right here. The sketch is tasteful, your authored material stylish. nonetheless, you command get bought an impatience over that you wish be delivering the following. unwell unquestionably come further formerly again as exactly the same nearly very often inside case you shield this hike.

    Reply
  • In this awesome design of things you’ll secure a B+ for effort. Exactly where you actually lost everybody ended up being in the specifics. As as the maxim goes, the devil is in the details… And it couldn’t be more accurate at this point. Having said that, let me reveal to you precisely what did work. Your article (parts of it) can be pretty convincing and that is probably the reason why I am taking the effort to opine. I do not really make it a regular habit of doing that. Next, even though I can easily notice the jumps in reason you make, I am definitely not certain of exactly how you seem to connect the details which inturn make the actual final result. For now I shall subscribe to your point however wish in the near future you connect your facts much better.

    Reply
  • Hi, Neat post. There’s a problem with your web site in web explorer, could check this?IE nonetheless is the market leader and a big component of other people will omit your great writing because of this problem.

    Reply
  • I have witnessed that intelligent real estate agents everywhere you go are warming up to FSBO Marketing. They are recognizing that it’s not only placing a sign post in the front place. It’s really concerning building relationships with these suppliers who someday will become consumers. So, while you give your time and energy to helping these suppliers go it alone – the “Law regarding Reciprocity” kicks in. Interesting blog post.

    Reply

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *