UFAHAMU UGONJWA PINGILI ZA MGONGO NA MATIBABU YAKE.(ANKYLOSING SPONDYLITIS)
Ankylosing spondylitis ni ugonjwa unaoshambulia mifupa ya uti wa mgongo kwa kuifanya mifupa ya mgongo kushikana na kua na ugumu badala ya mifupa hiyo kuachiana nafasi kama inavyotakiwa kua. Ugonjwa huu huwapata zaidi vijana na wazee lakini waathirika ni wanaume zaidi kuliko wanawake.
Dalili za ugonjwa huu.
maumivu ya mgongo; Mgonjwa hua na maumivu makali sana ya mgongo ambayo hupungua kwa kufanya mazoezi ya hapa na pale na huongezeka zaidi kwa kukaa tu bila shughuli yeyote, maumivu hua makali zaidi asubuhi kuliko jioni na pia maumivu huweza kusambaa sehemu ya makalio mpaka miguuni na kuleta ganzi sababu ya kukandamizwa kwa mishipa ya fahamu. Dalili hizi huja na taratibu na kuendelea kwa kipindi kirefu, kwa watu wengine dalili hizi huweza kuja na kuondoka lakini kwa watu wengine dalili hizi huendelea kua kali muda unavyozidi kwenda.
Maumivu ya joint zingine za mwili; ugonjwa huu huambatana na maumivu mengine ya joint zingine za mwili kama za miguu na nyonga na maumivu haya hutokea zaidi wakati wa kuhamisha joint hizo.
uchovu wa kupitiliza; Hii nikawaida kwa ugonjwa huu kwamba mgonjwa anakua mchovu sana na kushindwa kufanya kazi.
Ugonjwa huu pia huja na dalili za kushindwa kuona vizuri na kushindwa kuvuta hewa kwa nguvu sababu ya maumivu ya mgongo.
Chanzo cha ugonjwa huu.
Haifahamiki chanzo cha moja kwa moja cha ugonjwa huu lakini ugonjwa huu umehusishwa na mambo yafuatayo.
urithi; Kama wazazi wako wana tatizo hili basi na wewe una nafasi kubwa sana ya kupata ugonjwa huu sababu tafiti zimeonyesha kwamba ugonjwa huu unafuata koo.
Human leukocytes antigen; Tafiti zinaonyesha kati ya watu kumi wenye ugonjwa huu, tisa wanaubeba ugonjwa huu. Kama una antigen hii haimaanishi kwamba utaugua ugonjwa huu lakini una nafasi kubwa sana ya kuugua ugonjwa huu.
Vipimo vinavyofanyika;
Mara nyingi vipimo vinavyofanyika kugundua ugonjwa huu ni X ray, Utrasound na MRI lakini pia vipimo vya damu kupima human leukocytes antigen huweza kufanyika japo sio kipimo cha kutegemea sana.
Matibabu;
Hakuna matibabu ya kuutibu ugonjwa huu mpaka ukapona kabisa lakini kuna matibabu ya kupunguza makali na kumfanya mgonjwa aishi maisha ya kawaida kama watu wengine kwa kutumia dawa za maumivu, virutubisho vya mifupa na dawa za kurelax misuli ya mgongo.
Matibabu mengine yasiyohusisha dawa na mazoezi binafsi, mazoezi kutoka kwa wataalamu kama physiotherapy, hydrotherapy yaani kutumia maji ya moto kukanda au kuoga kusaidia mzunguko a damu na mishipa ya fahamu, kupunguza uzito kwa watu wanene, na kunyoosha mgongo wakati wa kutembea. Wazee wengi wakiafrika hupinda mgongo na kutembea kwa fimbo kwa kukwepa maumivu makali ya kunyoosha mgongo na wengi hufariki bila kutibiwa.
Mara nyingi wagonjwa wengi hupata nafuu kwa matibabu ya dawa tu lakini kwa hali ikiwa mbaya zaidi yaani maumivu makali na mifupa kuharibika zaidi basi upasuaji hufanyika kuleta nafuu ya ugonjwa huu. Katika hatua kubwa kabisa za ugonjwa huu, ugonjwa huweza kusababisha kupata ngazi sana, kushindwa kuzuia mkojo na choo kubwa na kushindwa kutembea kabisa kitaalamu kama cauda equina syndrome.
STAY ALIVE
I’m not that much of a internet reader to be honest
but your sites really nice, keep it up! I’ll go ahead and bookmark ykur website to come back in the future.
Manny thanks https://Www.Waste-Ndc.pro/community/profile/tressa79906983/
Простота использования тепловизоров делает их доступными даже для новичков.
С тепловизором можно безопасно проводить охоту даже ночью.
My website: тепловизоры для военных цена (http://kescoop.com)
Pretty great post. I just stumbled upon your blog and wanted to say that I’ve truly enjoyed surfing around your weblog
posts. In any case I’ll be subscribing to your feed and I
hope you write again very soon! https://www.wcjb.com/2025/02/19/aarp-issues-warning-over-crypto-atm-scams/
I’m so in love with this. You did a great job!! http://www.hairstylesvip.com
Your point of view caught my eye and was very interesting. Thanks. I have a question for you.
Hello just wanted to give you a quick heads up. The words in your
post seem to be running off the screen in Firefox. I’m not sure if this is
a format issue or something to do with web browser compatibility
but I thought I’d post to let you know. The layout look great
though! Hope you get the problem solved soon. Kudos https://wiscope.blogspot.com/2025/02/single-use-cystoscope-wiscope-vs.html
Hey I know this is off topic but I was wondering if you knew of any widgets I could add to
my blog that automatically tweet my newest twitter updates.
I’ve been looking for a plug-in like this for quite some time
and was hoping maybe you would have some experience with something like this.
Please let me know if you run into anything. I truly enjoy reading your blog and I look
forward to your new updates. https://wakelet.com/wake/1gtLmO-Q3iiPK9lVFnycx
Hi there! Do you know if they make any plugins to protect against hackers?
I’m kinda paranoid about losing everything I’ve worked hard on. Any suggestions? https://npajy.mssg.me/
I am really inspired along with your writing abilities and also with the format for your weblog.
Is that this a paid subject matter or did you modify it yourself?
Either way stay up the excellent quality writing, it’s uncommon to
see a great blog like this one today.. https://men-health.mystrikingly.com/
Hello Dear, are you actually visiting this web page regularly, if so then you will absolutely get fastidious knowledge. https://www.builtinsf.com/articles/top-san-francisco-funding-rounds-2023-20240105
What’s up, of course this paragraph is in fact good and
I have learned lot of things from it on the topic of blogging.
thanks. https://www.wtvm.com/2024/03/30/crimson-tide-clemson-tigers-set-battle-spot-final-four/
I’m extremely impressed with your writing skills and also with the layout on your blog.
Is this a paid theme or did you modify it yourself?
Either way keep up the nice quality writing, it’s rare to see a great blog like this one nowadays. https://menbehealth.wordpress.com/